Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #81
Mkoani hukuMzeya upo wapi? Wee utakuwa besty yangu kwa kweli. Unaonaje rukishapata hao warwmbo tuwe tunapiga foursome ya maana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makubwa! Umechanganyikiwa si bure.Upumzishe mwili bhana hata kama mwili si wangu
Nitaweza wapi mimi na ma missMcheki yule miss tz
Huna shida wewe, yule hana kizaziNitaweza wapi mimi na ma miss
Mwili utapumzika ukiingia kaburini ondoa shaka mammyMakubwa! Umechanganyikiwa si bure.Upumzishe mwili bhana hata kama mwili si wangu
Nina shida kweli lakini si kwa haoHuna shida wewe, yule hana kizazi
Yupi huyo jamani mnipe connectionHuna shida wewe, yule hana kizazi
Daa,huwa naumia ila bas tuMwili utapumzika ukiingia kaburini ondoa shaka mammy
KibisaaaaMwili utapumzika ukiingia kaburini ondoa shaka mammy
Eeh mwili wangu wee unaumiaje mammyDaa,huwa naumia ila bas tu
Ndo nashangaa,kumbuka hii mara ya pili huwa unanijibu ivo kuwa "mwili ni wako" but bado natamani upunguze kas friend wanguEeh mwili wangu wee unaumiaje mammy
Nisaidie katika eneo lakoIkawe kheri kwako
Sasa hata hiyo ya soda huna dada wawatu utampa ninifanya kama unanisaidia ndugu yangu,.
Huku kila mwanamke ana mtoto na walio bado wana ndoto za kua wamamaNisaidie katika eneo lako
Penzi la dhatiSasa hata hiyo ya soda huna dada wawatu utampa nini
Nitakupa ukikamilishaSasa hata hiyo ya soda huna dada wawatu utampa nini
DuuuuhHuku kila mwanamke ana mtoto na walio bado wana ndoto za kua wamama
Kila la heriPenzi la dhati
Kasi tunapunguzaje jamani wakati warembo wazuri ndio wanazidi kizaliwa nyie humu tukiwatongoza mnasema hamtaki kuolewa na bodaboda so wacha tuwale form four BNdo nashangaa,kumbuka hii mara ya pili huwa unanijibu ivo kuwa "mwili ni wako" but bado natamani upunguze kas friend wangu