shabani198
New Member
- Aug 14, 2024
- 2
- 6
Habari ndugu zangu,
Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye:
1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini
2. Umri wangu 34
3. Rangi ni mweusi
4. Muislamu
Ili mafanikio yapatikane ni kuwa na mke bora ambaye atakuwa na sifa zifuatazo:
1. Awe Muislamu
2. Awe ana rangi
3. Miaka isizidi 30
4. Sio lazima awe na kazi
N.B KARIBU PM ila naomba ukija uje serious maana lengo ni moja tu ndoa kama hauna nia bora utulie ili wenye nia waje maana naamini humu kuna wanawake wenye nia ya dhati ya kuolewa.
Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye:
1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini
2. Umri wangu 34
3. Rangi ni mweusi
4. Muislamu
Ili mafanikio yapatikane ni kuwa na mke bora ambaye atakuwa na sifa zifuatazo:
1. Awe Muislamu
2. Awe ana rangi
3. Miaka isizidi 30
4. Sio lazima awe na kazi
N.B KARIBU PM ila naomba ukija uje serious maana lengo ni moja tu ndoa kama hauna nia bora utulie ili wenye nia waje maana naamini humu kuna wanawake wenye nia ya dhati ya kuolewa.