MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Na mimi natafuta mke ila awe na chura kubwa, rangi nitampaka mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuleta mrejesho
🤣🤣Na mimi natafuta mke ila awe na chura kubwa, rangi nitampaka mwenyewe
😂😂😂Na mimi natafuta mke ila awe na chura kubwa, rangi nitampaka mwenyewe
Chura za kituruki zipo kibao Kariakoo 🤣🤣🤣Na mimi natafuta mke ila awe na chura kubwa, rangi nitampaka mwenyewe
Nachokupendeaga hicho tu ,wewe mweusi tii(msomali atokenyuma) ,mume Tena awe mweusi tiiRangi imenikosesha mume..!
Anataka mke mweupe, mimi mkaa🤣🤣🤣Sio kweli
Kumbe na wew unazionaga 🤣🤣🤣chura kma zote had kunasiku nikajiuliiza Hawa binadamu wenzetu au mbona kilamtu anatako kubwa weupe 🤣🤣🤣Chura za kituruki zipo kibao Kariakoo 🤣🤣🤣
Njoo nikuelekeze kipako uglow akikuoa unaacha unarudi kwenye rangiyako🤣🤣🤣Anataka mke mweupe, mimi mkaa
It will end in tearsHabari ndugu zangu,
Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye:
1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini
2. Umri wangu 34
3. Rangi ni mweusi
4. Muislamu
Ili mafanikio yapatikane ni kuwa na mke bora ambaye atakuwa na sifa zifuatazo:
1. Awe Muislamu
2. Awe ana rangi
3. Miaka isizidi 30
4. Sio lazima awe na kazi
N.B KARIBU PM ila naomba ukija uje serious maana lengo ni moja tu ndoa kama hauna nia bora utulie ili wenye nia waje maana naamini humu kuna wanawake wenye nia ya dhati ya kuolewa.
Naogopa kupata rangi ya puple, wale wanaoacha mikorogo siunaonaga rangi zao😅Njoo nikuelekeze kipako uglow akikuoa unaacha unarudi kwenye rangiyako🤣🤣🤣
Hakuna mtu anayefanya jambo tena lenye kheri mwisho wake akaangukia kwenye majuto.It will end in tears
Vipi una uzoefu mkuu? maana nilikua nafikiri wanawake wa jf ni fermimists, ndoa sio kipaumbele chao.Utasumbuliwa uko pm kama unafanya utani utatamani kufungua pm yako
Anataka mwanamke wa kiislam.Hiyo no.1 toa...
Muafrika hataki kumuoa binti wa kiafrika asiyefuata dini toka uarabuni.
Hivi vigezo,ndo huwa vinanichekeshaga.
Kuna mtu namfahamu(sitamuita rafiki kwa sababu ya ubaguzi wake). Ukiwa si muislam,hata maji ya kunywa kwake huwezi kupata.
Basi,kaoa mwanamke eti kisa muislam. Kazaa nae,sasa hivi ana wajukuu. Mke,kashindikana(kwa anavyodai jama). Alivoona mkubwa anampanda kichwani,kaamua kumuoa wa 2. Si dini inaruhusu?! Nadhani kazaa nae watoto wawili,nae kamgeuka,kajiunga chama pendwa cha KATAA NDOA.
Sasa hivi,nadhani yupo katika harakati za kuoa mwingine tena. Ila sasa,nae kigezo kikubwa ni uislam.
Sasa,unajiuliza,muislam asiejitambua,na mkristo anaejielewa,yupi bora? Si kwamba wakristo hawana matatizo,ila, nahisi watu wangefikilia utu kwanza kabla ya madhehebu yao.
Izo ni nasaha tu ambazo hazina uhalisia kwenye ulimwengu halisi. Wapo wenye nia njema na wanapigwa nyundo za utosi deile.Hakuna mtu anayefanya jambo tena lenye kheri mwisho wake akaangukia kwenye majuto.
Rangi imenikosesha mume..!