Natafuta mke asiyezidi miaka 30, si lazima awe na kazi

Wake wanapatikana misibani, kwenye sherehe, shule, ibadani, kwenye kusafiri, kazini au mtaani. Kwani wewe unaishi sayari ya mars?
 
It will end in tears
 
Hiyo no.1 toa...
Anataka mwanamke wa kiislam.
Muafrika hataki kumuoa binti wa kiafrika asiyefuata dini toka uarabuni.


Hizi comment sizikuti katika nyuzi za wale wasio waislam wanaotafuta wenzao. Akhy anataka mke Muislam na ninamuomba Allah ampe mke mwema MUISLAM.

Hayo manung'uniko yenu bakini nayo wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…