grizzman
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 225
- 407
- Thread starter
- #21
au coUmeamua kijilipua Daaah njaa ya chini mbaya. Mbona wamejaa mitaani si-uende mtaa wa pili tu hapo majengo round about utawapa wengi...Ila weka Kipato chako ndo utarahisisha mchakato. Ukifanya hivyo within a fraction of second utawanasa hasa Wachaga wenzako ili wakunyooshe mapema viela vyako hivyo. Salio kama linasoma usipate shida hicho ndicho chambo...Watanasa kama samaki kwenye ndoano.
Sent using Jamii Forums mobile app