Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 467
- 520
Limeharibika mkuu, nategemea ngumi tu sahivi😀
[/QUOTmacho ya kusinzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limeharibika mkuu, nategemea ngumi tu sahivi😀
[/QUOTmacho ya kusinzia
😂😂🤣😂Sijui mlinzi police au wale wa KK security
Acha hizo mkuuMacho ya kusinzia
Unanishauri mimi mkuu? Uko serious?Nilitaka kukushauri uende taifa queen ukachukue Kuna walinzi wazuri pale mabeki hodari
😂😂😂😂nafuu ametukumbuka mimi na walinzi wenzangu
yani mwamba unatafuta mwanamke idara ya ulinzi akulinde wew au biashara yako mh sema we never know tafuta tu [emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nafuu ametukumbuka mimi na walinzi wenzangu
Kwamba ukikutwa na magendo uwe na mtu wa kukurescue, hii strategy nimeipenda nitaitumia na mimiWanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni kijana umri wangu ni miaka 36, nipo mkoani. Leo hii nimejitokeza kwenu ntafuta mke na sio mchimba sababu nipo tayari kufunga nae ndoa mara tu atakapopatikana. Sichagui dini wala kabila ila tu awe mtumishi Idara ya Ulinzi.
Nadhani nimeeleweka ninaposema idara ya ulinzi, mimi mwenyewe ni mfanya biashara. Awe tayari kwenda kupima.
Kwa yeyote aliye tayari ani PM massage zote zitajibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app