Natafuta mke, Awe na sifa hizi

Natafuta mke, Awe na sifa hizi

Aiseeh naona kwenye swala la elimu umetutupa nje, tufikirie na sisi wa darasa la saba
 
Aiseeh naona kwenye swala la elimu umetutupa nje, tufikirie na sisi wa darasa la saba
Hehehe neema kweli wewe ni standard seven leaver?

brain is the beautiful part of the body.
 
Habari wana love connect......
Natafuta mke wa kuoa serious;sifa zangu
-Age 29
-Kazi Mwajiriwa
-Elimu Degree ya kwanza
-Dini Mkristo
-Makazi Dar es salaam

sifa za mke nimtakaye
-Age 20-28
-Kazi ata asipokua nayo sawa tu,
-Elimu Certificate,Diploma,Degree, Masters,PHD
-Dini mkristo
-Makazi popote Tanzania.

Nakaribisha PM jamani,karne hii familia zinaanzia popote ata kwenye daladala watu wanatongozana na wanaoana.
jamani bado tu, sifanikiwa.........
 
Back
Top Bottom