peter_intelligent
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 604
- 519
nataka daktari ambaye ni mkeWewe unataka mke au unataka daktari?
wale hawana experienceMkuu nenda kawavizie wanachuo wa mwaka wa mwisho;bugando,kcmc,muhimbili n.k
Bugando pale wapo wa bei chee hasa ukipata tu nafasi ya kumtoa nje ya hapo.Mkuu nenda kawavizie wanachuo wa mwaka wa mwisho;bugando,kcmc,muhimbili n.k
Unatafuta experience ya nini mkuu
Amesema hawana uzoefusBugando pale wapo wa bei chee hasa ukipata tu nafasi ya kumtoa nje ya hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atoe tangazo la kitaifa sasa ili watu siku ya intavyu wakae viwanjani wakiwa wamefunua nyuchi zao ili kubaini uzoefu wao maana tairi likiwa kipara inamaanisha gari limefanya kazi kwa mda mrefu.Amesema hawana uzoefu
Kuna jirani yangu mmoja,mme ameachiwa alee watoto mke yuko Sudan
Kwahiyo wewe jamaa ndio huyu huyu mleta mada leftright ?
mimi simjui huyo uliyemuandika hapo ila na mimi nahitaji mke daktari hvyo kuepusha usumbufu wa kurudia rudia post nikaona bora nitumie fursa hii hii kujinadi kuokoa mudaKwahiyo wewe jamaa ndio huyu huyu mleta mada leftright ?
Jifunze namna ya kutumia multiple IDs maana hapa ushatoa boko.
Kwahiyo wewe jamaa ndio huyu huyu mleta mada leftright ?
Jifunze namna ya kutumia multiple IDs maana hapa ushatoa boko.
mimi simjui huyo uliyemuandika hapo ila na mimi nahitaji mke daktari hvyo kuepusha usumbufu wa kurudia rudia post nikaona bora nitumie fursa hii hii kujinadi kuokoa muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahusiano ya hivi hayadumugi