leftright
Member
- Apr 22, 2018
- 24
- 12
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Huogopi?Mimi natafuta mke awe mwanajeshi. Akiwa mwanamedani itapendeza kabisa.
Cc docta financial servies
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Huogopi?
Nilishangaa na kuanza kuogopa siku nilipoambiwa na rafiki yake kuwa naichanganya Serikali!!
Alikuwa gf wangu, akaenda kozi. Akakuta nimetafuta kifaa kipya Mnyarwanda! Yule dada alipigwa biti kwanza si raia wa Tz!
Demu akahama; mziki ukabaki kwangu.
Nilianza kuogopa.
Sijui uko wapi Afande!!!!????
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...anaweza kuwa afya mgogoro...anataka apate huduma ndani kwa ndani..Una dili la kuiba vifaa vya hospitalini?
Atamimi ni mgambo kamanda ktk kikosi cha sungusungu natafuta mke mwanajeshi itapendeza kama atakuwa mpUtakula mabuti mpaka uchanganikiwe
Wadada wajeda safi sana asee, ila wasiwe walevi.Dah! Huogopi?
Nilishangaa na kuanza kuogopa siku nilipoambiwa na rafiki yake kuwa naichanganya Serikali!!
Alikuwa gf wangu, akaenda kozi. Akakuta nimetafuta kifaa kipya Mnyarwanda! Yule dada alipigwa biti kwanza si raia wa Tz!
Demu akahama; mziki ukabaki kwangu.
Nilianza kuogopa.
Sijui uko wapi Afande!!!!????
Sent using Jamii Forums mobile app