Natafuta Mke halisi wa kuoa ALIYEOKOKA

Natafuta Mke halisi wa kuoa ALIYEOKOKA

Bi kiroboto si unamaanisha yule wamjengoni?
if yes si kweli hajaolewa na wala hana mume
ame adopt watoto 2, ana mwanaume flani kigologolo ctaki kumtaja.
lakini mama kiroboto age yake imepitiliza kiwango cha menopause ndo maana haachi kuripuka kutokana na disturbance zza upungufu wa hormone zinazomletea stress mara kwa mara

hivyo, bi kiroboto kwangu si mke labda awe shungamammy ambavyo vyote havina nafasi kwangu

hata hivyo japo sina kipimo sidhani bi kiroboto kwa matukio yake ya kuretain ubunge anakidhi viwango vya ulokole!!

una shida gani mkuu, vuta ngoma ile uepuke mikuki ya pesa zavocha uswahilini, sio mchezo

unafumba macho na kulumangia kiskauti, ukimpuliza mara tatu kijeshi anakuwa mpole hatatusumbua tena na miripuko yake kama mchawi
 
Baada ya kuandika hizo sifa zote na kumaliza, bado unahisi umeokoka??
Nilidhani yule mwokovu ni yule anaemtegemea Mwokozi wake na kushukuru kwa kila jambo!
Bali ungalimo unaishi kwa SHERIA ..............!
 
Nakushauri hudhuria ibada za makanisa ya wakovu, huko utapata mke mwema.
 
Free advice:kwnn ucngeweka limit kwny hayo yote huwez jua waweza pata ambae hajaokoka lkn akaokoka kupitia ww..
 
Ushapata?
Bishanga mchokozi! mwenzio kaweka tangazo jana mara leo unamuuliza kama ameshapata! Ingekuwa rahisi kiasi hicho si angekuwa amepata kabla ya kutangaza? Lol!
 
Last edited by a moderator:
Mbona requirements/ criteria zinaonesha unataka asiyekuwa mlokole!


mwanamayu, we kwa mtazamo wako umeona criteria zinamgusa asiyeokoka/
Nadhani you are wrong

kwa uhakika wapo walio okoka wenye sifa tajwa hapo juu tena na zaidi ya hizo

then keep waiting be patient mwenyewe atapatikana kabisaaaa
 
Mimi ni Muislamu safi, niliyeokoka, sifa zote ninazo lkn ni mlokole wa kiislamu!!!
Je ninakufaaa?? km ndiyo, twende kwa PM
.

heshimu imani za wengine mkuu, hakuna mlokole wa kiislam.
Uislam hauko hivyo.
Usifanye kejeli kwenye imani za wenzako.
 
all the best mkuu, natumai utafanikiwa.
Nashauri ungeruhusa hata mwana jf anaemfaham mtu mwenye sifa unazotaka akuunganishe nae.
 
Habari kwenu wana JF.

Nimekuwa nikijiuliza kwa mda hivi ya kwamba ndani ya GT yupo mdada aliyeokoka? kama ni kweli tafadhali fuatilia maelezo haya na kama yamekugusa usisite kufanya kile ambacho moyo wako utakusukuma kufanya.

Natafuta mchumba, nataka tuoane, ikiwa tu tuta match na fixn baina yetu na ikiwa tu Mungu anaweka kibali chake.
IKUMBUKWE KWAMBA, MARRIAGE ARE MADE IN HEAVEN what wa do ni kuthibitisha kile kilichokwisha andaliwa.

Unaweza kutaka ujue mimi ni mwanaume wa namna gani, usiwe na haraka, kabla ya hapo ntapenda nikufahamishe aina ya mrembo ninayemhitaji ili ukijikuta unaelekea kwenye sifa hizo then utawajibika kunijua mm ni nani na kisha tujenge mahusiano ya awali kuelekea kunako.

Aina ya mdada huyo ni sharti awe ndani ya ABCD.... zangu kama ifuatavyo:

SHARTI la kwanza ni LAZIMA awe ameokoka: kama mm na kama ambavyo nuru havichangamani na giza, Unaweza kutaka kupritend katika hilo but I sure it wont work out, then u better dare not.

KIGEZO A: Age
Napendelea kuwepo interval ya atleast 10 yrs hivi, hivyo umri wako u range kati ya miaka 25 na 35.

KIGEZO B: BEHAVIOUR
KIGEZO C: CHARACTER na
KIGEZO D: DISCIPLINE
Vigezo vyote vitatu kwa pamoja vinavunjwa na yule aliyeokoka kiukweli maana so long you are saved, you become shaped on that kwa viwango vinavyokubalika kibinadami na kiMungu. Hivyo tabia, mwenendo na adabu vinatengenezeka kwa Yesu tuu.

KIGEZO E: EDUCATION
Kiwango cha elimu flani si kigezo ila ni vizuri na inanipendeza kuwa na mdada flani aliyepitia kwenye vidato flani na vyuo kadhaa ikiwezekana. Actually shule ni muhimu sana kwangu. Pia si lazima awe mfanyakazi kwa sasa but ni vizuri awe kwenye position ya kuwa na kazi.

KIGEZO F: FAMILY HISTORY
Ntapenda nifaham familia yako kiundani dhidi ya mahusiano ya ndani na jamii inayowazunguka, Uwepo wa magonjwa ya urithi nk. siyo lazima sana lakini ni jambo zuri ninalolizingatia .

KIGEZO: GENERAL MORPHOLOGY
Mdada huyu ni vema awe mzuri au mtanashati na mrembo kwa kiwango cha tafsiri yangu na kiwango kile cha jumla. Ni jambo gumu kulielezea maana sometimes liko embarassing but ni zuri na linaeleweka mno kwa wengi.

Naelewa inaweza kuwa vigumu kukupata wewe kwa kufikia 100% ya vigezo hivyo; hata hivyo, dont hestitate, vigezo hivyo will always be regulated just in case kitu LOVE kimetamalaki!

Hali kadhalika, kwa kuwa hata wewe unaweza kuwa na vigezo vyako; nitakupa kwa kifupi juu yangu, umri wangu unaelekea miaka 40, urefu wangu ni sentimeta 165 hivi, rangi yangu nasikia ni maji ya kunde, m sijui; nimeajiriwa in medical field na pia wakati huohuo niko chuo nasomasoma flan. Kubwa zaidi ya yote NIMEOKOKA!

PLZ, KARIBU SANA!
Nakutegemea mno if in case umegundua tunaweza kumatch na kufixn in one another.

Mtu yeyote aliyeokoka kiukweli kama si wa magirini hawezi kumtafuta mke kupitia mitandao. Imeandikwa mke mwema hutoka kwa Mungu, na mali na utajiri mtu hupewa na babaye!!! Sijui wewe mchungaji wako alikufundisha nini kuhusu mke mwema na namna ya kumpata!!! Pole sana!!
 
nakushauli nenda kajipange hasa ktk maombi na kutoa kwa wingi maana mke mwema na bora ni yule anayetoka kwa Mungu tafuta mke ampendaye MUNGU Mwenye sifa kama hizi

SIFA ZA MKE MWEMA


Kitabu cha mithali 31 kuanzia msitari wa 10 hadi 31 kimeelezea sifa mbalimbali za mke mwema, tuangalie kwa uchache sifa hizo kwa kuzichambua katika maeneo tofauti. 1. Imani Mithali 31:26, 29, 30 Mke mwema anayashika na kuyafanyia kazi maneno ya Mungu na ni mtu ambaye anamtumikia Mungu kwa moyo wake wote na akili yake yote. Anatafuta makusudi ya Mungu katika maisha yake na kuyafuata. Zaburi 119;15 2. Ndoa Mithali 31:11-12, 23, 28 Mke mwema humuheshimu mume wake na anahakikisha anamtendea mambo mema siku zote za maisha yake. Ni wa kuaminika na msaidizi kwa mume wake. Efeso 5:22-24, 1Petro 3 3. Malezi Mithali 31: 26, 28 Mke mwema anawafundisha watoto wake njia za Mungu na pia anawatunza kwa upendo. Huwafundisha kwa hekima na kuwaelekeza njia iwapasayo kuiendea. Mithali 22:6 4. Huduma Mithali 31:12-15, 17, 20 Mke mwema anamhudumia mume wake na familia yake yote kwa ukarimu na upendo. Anahakikisha wanapata chakula kilicho bora na chenye afya. Ni mtu mwenye huruma na ukarimu. 5. Mali Mithali 31:14, 16, 18 Mke mwema anatafuta kwanza ushauri wa mumewe kabla ya kutumia fedha na pia anafanya manunuzi kwa hekima. Ni muangalifu kununua bidhaa zenye ubora kulingana na mahitaji ya familia yake.Efeso 5:23 6. Nyumba Mithali 31:15, 20-22, 27 Mke mwema ni mtu anayeifanya nyumba iwe mahali pa kuishi. Anatengeneza mazingira ya kuvutia kwa familia yake na wageni wote na anawahudumia watu wake wote kwa ukarimu. 1pet 4:9, Ebrania 13:2

lakini kama unataka mke wa kukutesa maisha yako yote na ukose na furaha endelea kutafuta humu ndani na kungineko kama sitofahamu.bye bye
 
Mbona requirements/ criteria zinaonesha unataka asiyekuwa mlokole!

Usijadanganye! wokovu upo akhera tena baada ya kufuzu katika mizani kubwa ya Mema na Maovu. Mizani yako ya hapa duniani ikiegemea kwenye mema utapata wokovu wa kweli na utakuwa ni mmoja watakaokirimiwa kila mema. Kufa basi uwahi!
 
Back
Top Bottom