Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

Natafuta mke huku chit chat..napokea maombi..

kha mkuu watajaza pm nkajua na wewe kama yule jamaa eti asiwe ameliwa mtandao pia mwenye uwezo wa feza na asiwe mlevi au kuwai kutoa mimba kimoyomoyo nkasema labda amuumbe wake. Ok mkuu pambana utapata tu wapo humu.

cc charty

Hhahaaaa... thx.
Vigezo vyotee nnavyo plus kuwa sealed.... marinda atayakagua kujiridhisha...
 
Last edited by a moderator:
kha mkuu watajaza pm nkajua na wewe kama yule jamaa eti asiwe ameliwa mtandao pia mwenye uwezo wa feza na asiwe mlevi au kuwai kutoa mimba kimoyomoyo nkasema labda amuumbe wake. Ok mkuu pambana utapata tu wapo humu.

cc charty
weeeh shark unanitafuta eh?mie tayari nina waume zangu humu wakunitosha khaa..niachee huko
 
weeeh shark unanitafuta eh?mie tayari nina waume zangu humu wakunitosha khaa..niachee huko

mmmh wewe nani kakuambia kua michepuko ina idadi jua kua kuna nyumba ndogo na mchepuko ni vitu viwili tofauti kila kimoja kina masharti yake
 
Tena waambie nitakayempenda ndio anakuwa boss lady humu. Sasa kazi ya wadada kunipetpet miye dada binamu ndio nitapitia CV .
CC: Warembo wote JF.

Wamekusikia..sasa Unaweza kuwa hoji waliojitokeza anza na munkari
 
Back
Top Bottom