Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kha mkuu watajaza pm nkajua na wewe kama yule jamaa eti asiwe ameliwa mtandao pia mwenye uwezo wa feza na asiwe mlevi au kuwai kutoa mimba kimoyomoyo nkasema labda amuumbe wake. Ok mkuu pambana utapata tu wapo humu.
cc charty
Karibu...maombi yako yatatazamwa kwa makini
weeeh shark unanitafuta eh?mie tayari nina waume zangu humu wakunitosha khaa..niachee hukokha mkuu watajaza pm nkajua na wewe kama yule jamaa eti asiwe ameliwa mtandao pia mwenye uwezo wa feza na asiwe mlevi au kuwai kutoa mimba kimoyomoyo nkasema labda amuumbe wake. Ok mkuu pambana utapata tu wapo humu.
cc charty
Mke wangu kaunga haji huku chit chat..sasa nikija huku nakosa huduma ..sasa Nimeona niongeze mke wa huku chit chat tu...nakaribisha maombi now..nibebe mzigo.
khaaaaaaa!:wave:
weeeh shark unanitafuta eh?mie tayari nina waume zangu humu wakunitosha khaa..niachee huko
mmmh wewe nani kakuambia kua michepuko ina idadi jua kua kuna nyumba ndogo na mchepuko ni vitu viwili tofauti kila kimoja kina masharti yake
Vigezo uwe unajiamini na unatazamika lol
Yaani wewe ndo hasa unisaidie kuzipitia hizi cv zao...ndo kazi ya dada binamu hiyo..