Abdalah Hussein
Member
- Feb 19, 2022
- 11
- 8
Habari zenu ndugu,
Mimi mwanaume wa miaka 33 natafuta mwanamke wa kuoa .
Sifa za mwanamke/ mchumba nimtakaye
Awe muislam na mwenye hofu ya Mungu
Awe na miaka kuanzia 20 na kuendelea hadi miaka 30 iwe mwisho
Awe anajitambua
Awe na elimu angalau Diploma na kuendelea
Mwisho awe tayari kuolewa mwaka huu .
Kama ana mtoto asizidi mtoto mmoja, maana mtoto ni zawadi toka kwa Allah/ Mwenyezi Mungu.
Kwa aliye na sifa tajwa hapo juu na mwenye uhitaji wa mume kama mimi ninavyohitaji "mke" anitumie msg PM.
ASANTE SANA👏
Mimi mwanaume wa miaka 33 natafuta mwanamke wa kuoa .
Sifa za mwanamke/ mchumba nimtakaye
Awe muislam na mwenye hofu ya Mungu
Awe na miaka kuanzia 20 na kuendelea hadi miaka 30 iwe mwisho
Awe anajitambua
Awe na elimu angalau Diploma na kuendelea
Mwisho awe tayari kuolewa mwaka huu .
Kama ana mtoto asizidi mtoto mmoja, maana mtoto ni zawadi toka kwa Allah/ Mwenyezi Mungu.
Kwa aliye na sifa tajwa hapo juu na mwenye uhitaji wa mume kama mimi ninavyohitaji "mke" anitumie msg PM.
ASANTE SANA👏