Natafuta mke mdogo

Natafuta mke mdogo

ahaa! hivi wajua kwamba kutongoza tu mwnaamke yakubidi kulipia gharama za usumbufu?? sasa kwasabbau umetongoza wanawake wote wa jf na kuwasababishia usumbufu unatakiwa ulipie gharama zake kwa wote.

sasa kwa kukuhurumia na nikiwa kama mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa jf nakutaka ulipie membership status fee yako mara moja.

tena isiwe gold ama bronze bali kuanzia tanzanite sawa?? ili kuonyesha kweli wewe uwezo unao wa kumudu wake wawili.

cc Superman, Asprin Bishanga Invisible

Mwanaizaya Asprin hebu tuwakilishe kulisemea hili . . .
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni gold member mbona. Hii id ni mpya kwaa ajili ya kutafta mke tu. naogopa kutumia id yangu ili washankupe wasipeleke habari kwa bi mkubwa

basi kama unakaidi huna uwezo wa kuwa na wake wawili period.na kwakua unajificha basi wewe ni kinyonga
 
basi kama unakaidi huna uwezo wa kuwa na wake wawili period.na kwakua unajificha basi wewe ni kinyonga

Sina uwezo kivipi wakati sasaivi nipo chemba na mmoja teyari
 
Shughuli unaiweza kisawa sawa wewe ..

Na pochi yako jeee??

Kuwa mke wa pili ni lazima vigezo na masharti kuzingatiwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Shughuli unaiweza kisawa sawa wewe ..

Na pochi yako jeee??

Kuwa mke wa pili ni lazima vigezo na masharti kuzingatiwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Pochi ipo sawa sawa kabiiisa na shughuli naiweza vizuri ndio maana nataka kucheza uwanja wa nje na ndani
 
Back
Top Bottom