ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Huyu ni yeye
Hiyo j imesimama badala yA Johnson🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni yeye
nshakua na uyo msabato akanambia nisisuke😂😂😂🙌🏾🙌🏾vina muda basi kaniacha shwaaaaHaha yaan. Duniani pakuchoshe ahera pakuogopeshe 🤣🤣
umesahau mwanamke kahaba😂🙌🏾🙌🏾mnyama ana vichwa saba na pembe ngap sjui nyieee ufunuo unatishaaaaUtasikia yule mnyama,sijui vitasa saba,malaika saba,nyoka ana vichwa vingapi sijui weeeee utajua hujui🥲🥲
imagine hadi ukanyoa na bado akakuacha 😂😂😂nshakua na uyo msabato akanambia nisisuke😂😂😂🙌🏾🙌🏾vina muda basi kaniacha shwaaaa
😂😂😂 Ndugu angu wew duniani kuna mengi,,nmenyoa ad saiv apaimagine hadi ukanyoa na bado akakuacha 😂😂😂
Balaaumesahau mwanamke kahaba😂🙌🏾🙌🏾mnyama ana vichwa saba na pembe ngap sjui nyieee ufunuo unatishaaaa
Dah hao wa kutunyolesha nywele hapana Kwa kweli,tunyoe Kwa kupenda kwetu!imagine hadi ukanyoa na bado akakuacha 😂😂😂
ila mimi kuliko msabato bora niende kwa muislamu 😂😂Dah hao wa kutunyolesha nywele hapana Kwa kweli,tunyoe Kwa kupenda kwetu!
Unawagopa kiasi hicho?ila mimi kuliko msabato bora niende kwa muislamu 😂😂
🤣🤣 ila wanasema uongo? Kusengenya? Wasituchoshe, dhambi sio tu matipo choice😂😂🙌🏾Wasabato hawazini ad ndoa ujue ata kukis hawajui,
EeehSi ndio karibu na nchi jirani 🤣
mahi hawali hata kitimoto, bata , papa 😂😂kambale aaah bado masharti mia kidogoUnawagopa kiasi hicho?
PoaMambo
Yaani hapo kwenye kukataza kumla mywetu kitimoto mmmh hapana itakuwa ngumu....mahi hawali hata kitimoto, bata , papa 😂😂kambale aaah bado masharti mia kidogo
they don’t have any holiday zaid ya makambi
saaaana yaanYaani hapo kwenye kukataza kumla mywetu kitimoto mmmh hapana itakuwa ngumu....
😜we una mtoto ila unataka asie na mtoto oke oke oke kila la heri
Joannah ephen_ Evelyn Salt Depal njooni muone