Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyekiti kamati ya mapambo
Inasikitisha sana….ila haishangazi sana maana wanaume sikuzote hujihesabia hakimwenyekiti kamati ya mapambo
wao ndo watakatifuInasikitisha sana….ila haishangazi sana maana wanaume sikuzote hujihesabia haki
Bas unaamua kukaa kimya tu….akibahatika haya…akidondokea pua sawawao ndo watakatifu
Mama wa mtoto yupo haiRef;-Natafuta mke mkristo,
Ila akiwa msabato na awe anaishi dar es salaam itakuwa poa zaidi.
Awe mwalimu au nurse au kazi yoyote ya serikali,asiwe muhaya au mjita.
Awe na miaka 22-33 asiwe na mtoto,na asiwe aliolewa/asiwe kibonge sana akiwa mwembamba itakuwa poa sana.
Me naitwa johnson/30yr's nina mtoto1/sijawahi kuoa/nina diploma ya geomatics/nafanya kazi /msabato pure/urefu 5.7ft/chocolate color/sio mnene/sio mwembamba.
Kama upo serious nitafute johnsonMatinde@gmail.com
Abee Poker
Nimetamani kukuona tena sijui hata kwanini.Abee Poker
Ndio,kwani kuna ajabu gani apo?we una mtoto ila unataka asie na mtoto oke oke oke kila la heri
Joannah ephen_ Evelyn Salt Depal njooni muone
Ndio makande😂😂😂😂jumamos siku ya makande
Kuniona nini na wapi huko 😂Nimetamani kukuona tena sijui hata kwanini.
Ndio nataka asie na mtoto,we una mtoto ila unataka asie na mtoto oke oke oke kila la heri
Joannah ephen_ Evelyn Salt Depal njooni muone
sasa single faza si tungefaana namim single maza 😌😌,
utatafsiriwa ufunuo ad uogope kukaa duniani
Kama hujakidhi vigezo,soma pita hivi/usiwatishe watu, sio poa.Ushaambiwa hataki muhaya
Niache kwanza niendelee kubaki nyumbani 🤣🤣🤣
Afu msabato nehi nehiii
Hao Miungu wa dunia mahiii. Masomo yao magumu
Msabato ni binadamu kama wewe,anakosea kama wewe, so kama huna vigezo hvy ni vyema uache yapiteMsabato wa wapi ww mzinifu au umeasili mtoto ?
Pole.Kabila limenikosesha mume..!
😂🙏sasa single faza si tungefaana namim single maza 😌😌,
PlutoUmezaliwa sayari gani,usiyejua kinachoendelea duniani?