Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Umenishinda tabia, anayekuweza ni sponsor mshamba_hachekwi yeye ndo kaachiwa kampuni ya mabasi.Alafu dukani mzigo umekata Poker wangu niongezee pesa nikachukue mwingine😘😘😘😘😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenishinda tabia, anayekuweza ni sponsor mshamba_hachekwi yeye ndo kaachiwa kampuni ya mabasi.Alafu dukani mzigo umekata Poker wangu niongezee pesa nikachukue mwingine😘😘😘😘😘
ataniua huyo anapenda hela sanaUmenishinda tabia, anayekuweza ni sponsor mshamba_hachekwi yeye ndo kaachiwa kampuni ya mabasi.
mshamba_hachekwi hawezi kukubali katu katu.Umenishinda tabia, anayekuweza ni sponsor mshamba_hachekwi yeye ndo kaachiwa kampuni ya mabasi.
Hongera kwa kujilipua . Ngoja na Mimi nijilipue huenda naweza pata jikoMimi nipo dar na nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenzi ya kweli. Nipo Dar na umri wangu miaka 54 na umri wa mke usiZidi miaka 50 sina tatizo la dini wàla kabila na tuwasiliane kwa namba 0717667348
Jamani jamani jamaniataniua huyo anapenda hela sana
Hushindwi kaka komaa maana almanusura anifilisi.ataniua huyo anapenda hela sana
Tena utapata lenye mkaa umekoleaHongera kwa kujilipua . Ngoja na Mimi nijilipue huenda naweza pata jiko
🤣🤣🤣🤣🤣Hushindwi kaka komaa maana almanusura anifilisi.
Ujue bwana we uhitaji hatubahatiki sijui tunafeli wapiTena utapata lenye mkaa umekolea
hivi unajua mtoto wako alijaribu kukutongoza kwa ID nyingine @ mnara wa tz?😆mshamba_hachekwi hawezi kukubali katu katu.
Kwa sababu mtoto angu Feni tedoka alimwambia asikanyage nyumbani atamkimbiza na panga.
Utapata tu jichanganye sana huwezi kosaUjue bwana we uhitaji hatubahatiki sijui tunafeli wapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jesuuuuuhivi unajua mtoto wako alijaribu kukutongoza kwa ID nyingine Mnara wa tz?😆
siku hizi anajiita lamekiAgustino
aise 🐒Mimi nipo dar na nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenzi ya kweli. Nipo Dar na umri wangu miaka 54 na umri wa mke usiZidi miaka 50 sina tatizo la dini wàla kabila na tuwasiliane kwa namba 0717667348
Usiseme alijaribu sema alimchakata Lovelovie kimasiharahivi unajua mtoto wako alijaribu kukutongoza kwa ID nyingine @ mnara wa tz?😆
siku hizi anajiita lamekiAgustino
Kuna kufiwa,Ogopa sana mtu wa miaka 54 anatafuta mke kwa mtindo huu.
muje kwa babu njunju zoazoa zizooNa mibonge inavyojua kupenda sasa, tofauti na sie tulionyimwa nyama midomo mirefu muda wote tunatafuta ugomvi 😂😂😂😂
Nyie vimbau mbau wenzangu tubadilike tutakosa waume