Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Inategemea,omba Mungu.Hata wanaume walimu wapo lakini baadhi NI wa hovyo,hovyo,kupitia kiasiNina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh.
Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde.
Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu.
Kwanini Mwalimu?, well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto zangu, naamini Mwalimu ni mzazi na mlezi bora na walimu wengi wako unique ndani ya ndoa.
Awe na umri wa miaka 25 kushuka chini, awe mweupe, asiwe na mtoto.
Mwalimu!!! muoaji nimepatikana.
nashukuru kwa wazo hiliMwombe Mungu akujalie Mke mwema kulingana na unachostahili si unachotaka maana Mungu hutujua mazuri yetu na madhaifu yetu kitabia.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app