wifeseeker
Member
- Jul 28, 2018
- 77
- 48
Ambae hajatumika kwa muda mrefu yupoje!!... Hiyo kitu haina usugu Dada.Asiyetumika sana utamjuaje Kaka yangu ? Ile kitu inatanuka na kusinyaa. Labda nikurekebishe ungesema hivi ambaye hajatumika kwa muda mrefu.
Hehehehe RRONDO DiasporaJay njooni muone ndio haya tunayoyasemea
Swali kwako mtoa mada je utaongeza wake wengine kama dini yako inavyotaka?
Asiyetumika sana utamjuaje Kaka yangu ? Ile kitu inatanuka na kusinyaa. Labda nikurekebishe ungesema hivi ambaye hajatumika kwa muda mrefu.
Hapana dini haijalazimisha kuoa zaidi ya mke mmoja ila pia haijakataza kuongeza
Mwenye chura atapewa kipaumbele!
Mimi nimekuuliza wewe binafsi utaongeza?
Hehehehe RRONDO DiasporaJay njooni muone ndio haya tunayoyasemea
Swali kwako mtoa mada je utaongeza wake wengine kama dini yako inavyotaka?
Hapana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asante mh. Marianah kwa swaliii lako zuri la nyongeeeeeeezaaa in mama makinda voicee [emoji16][emoji16]
Haya
Salaam, mimi ni mwanaume mwenye miaka 29, muislam.
Natafuta mpenzi ili awe mke wangu insha Allah.
Vigezo vyake.
1. Muislam or mkristo mwenye imani thabit ya kikristo na yuko tayar kubadili.
2. Umri miaka 18-24
3. Maji ya kunde au mweupe
4. Awe hajatumika sana na asiwe na mtoto
5. Asiwe mfupi
6. Mwenye kazi au asio na kazi yote sawa
7. Mzuri na mwenye umbo zuri.
Mimi nilivyo
1. Mrefu kiasi
2. Maji ya kunde yanayokaribia weupe
3. Elimu - masters
4. Nimeajiriwa serekalini
5. Naishi dar es salaam
Karibuni dm
Ahsanteni....
Kila la kheri
Salaam, mimi ni mwanaume mwenye miaka 29, muislam.
Natafuta mpenzi ili awe mke wangu insha Allah.
Vigezo vyake.
1. Muislam or mkristo mwenye imani thabit ya kikristo na yuko tayar kubadili.
2. Umri miaka 18-24
3. Maji ya kunde au mweupe
4. Awe hajatumika sana na asiwe na mtoto
5. Asiwe mfupi
6. Mwenye kazi au asio na kazi yote sawa
7. Mzuri na mwenye umbo zuri.
Mimi nilivyo
1. Mrefu kiasi
2. Maji ya kunde yanayokaribia weupe
3. Elimu - masters
4. Nimeajiriwa serekalini
5. Naishi dar es salaam
Karibuni dm
Ahsanteni....