Natafuta MKE mwenye CPA(T), Doctor of Medicine au HR😎

Yaani kwa hivyo vigezo wewe Una nini chamno?

Hakuna mwanamke mpumbavu atakaeangukia kwako..

Acha kujifurahisha.
 
We una nini ndugu wanafwataga nawaooo waalewale ushaambiwa Mungu anakupa wa kufqnana nae lasaba ukaoe degree pambafuu
 
Chukua Mfalme Zumaridi
 
Dogo umenifurahisha sana.

Kuhusu dini unasema you don't give a fck. Safi sana maana dini ni upumbavu wa hali ya juu sana.

Dogo unataka lishangazi likulee😂
 
Wewe vigezo weka CPA unayo?😝😝
 
Mbona wewe ujatoa sifa zako.Alaa
 
Nenda pale muhimbili wamejaa kibao, pia usisahau kwenda na bango kama hili.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…