Natafuta mke mwenye mtoto

Natafuta mke mwenye mtoto

Status
Not open for further replies.
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo
1. Awe amezaa
2. Umri miaka kuanzia 25-32
3. Awe anasali dini yeyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi
4. Kabila lolote isipokuwa Kutoka Lindi
5. Umbo: asiwe kapigwa pasi sana
6. Awe na tabia njema
7. Elimu kuanzia kidato cha nne.

SIFA ZANGU
1. Nina miaka 27
2. Mweusi
3. Degree holder
4. Naishi kanda ya ziwa, mkoa wa Mwanza
5. Bado sijatoboa kimaisha
6. Mwanifu ktk mahusiano na hata nyanja zingine za maisha
7. Dini: Mkristo

Kama yupo tayari tuwasiliane dm
unatafuta pumziko la kukupumzisha kipindi hiki kigumu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom