Natafuta mke mwenye tabia njema wa kuoa

Maskini yaan umejiunga Jana Leo unataka mchumba je unawajua wadada walioko humu, na je ukitiari kukabiliana na changamoto zote utakazo kutananazo humu na asilimia 99 humu wanawanaume zao humu jitahidi upate hio 1 iliobaki
 
Maskini yaan umejiunga Jana Leo unataka mchumba je unawajua wadada walioko humu, na je ukitiari kukabiliana na changamoto zote utakazo kutananazo humu na asilimia 99 humu wanawanaume zao humu jitahidi upate hio 1 iliobaki
Nipo tayari
 
Maskini yaan umejiunga Jana Leo unataka mchumba je unawajua wadada walioko humu, na je ukitiari kukabiliana na changamoto zote utakazo kutananazo humu na asilimia 99 humu wanawanaume zao humu jitahidi upate hio 1 iliobaki
Ili mradi awena vigezo hivo nilivovitaja
 
Maskini yaan umejiunga Jana Leo unataka mchumba je unawajua wadada walioko humu, na je ukitiari kukabiliana na changamoto zote utakazo kutananazo humu na asilimia 99 humu wanawanaume zao humu jitahidi upate hio 1 iliobaki
Sio kua na waume zao tu hata wengine baadhi ni matapeli na wafanyabiashara wa mapenzi...unachat na kujuana na mtu leo kesho anakuambua umtumie hela ya mama yake au baba yake anaumwa au umsaidie hela ya umeme ama kodi
ila simkatishi mleta mada waliotulia wapo
 
Mke ni tabia na kumjua mungu nyingine mbwembwe zisizo na maana
 
Mhhhh
 
Wakweli pia wapo
 
Yalikukuta nini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…