Amrish Puri
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 274
- 379
Acha kuupotosha umma.Hakuna mwanamume mwenye miaka 40 na ana mtoto wa miaka 25.Hii maana yake ni kwamba alizaa akiwa na miaka 15,kitu ambacho hakiwezekani kwa mwanamume wa kitanzania.Kama ni kwa upande wa jinsia ya kike labda!duh 40 kwa 25 ,maana yake unataka kuoa mwanao
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha jamaa atawagegeda mpaka mtakoma na alivyoingia na gia nzito tena namba moja ya kupandia mlima kotoka nje kimasomo lazima muisome namba....
Kuwa mstaarabu basi, hiyo lugha uliyotumia hapa haihitajiki!Ukiwa na mkeo tendo lile ni halali.Pia kumbuka kama wewe ni tabia yako kuwachezea wanawake sisi wwengine ni wastaarabu!!!!!Haha jamaa atawagegeda mpaka mtakoma na alivyoingia na gia nzito tena namba moja ya kupandia mlima kotoka nje kimasomo lazima muisome namba....
Ambae ana mtoto hutaki?yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.
Nasubiri card tu ya mwaliko miejana niliota nimeingia jf nikakuta mtu anatafuta mke nikapm tukaoana eti nina umbile na kitu uzima kabisa usijali kilo 98 sio mchezo hebu ni pm mkuu tuoane zetu hata kama umetokea bulgaria
hata sikumpataNasubiri card tu ya mwaliko mie
Mwenye mtoto ambaye atasababisha mama na mzazi mwenzie waendelee kuwa na mahusiano fulani hapana!Ambae ana mtoto hutaki?
Mkuu bado hujapata?Mwenye mtoto ambaye atasababisha mama na mzazi mwenzie waendelee kuwa na mahusiano fulani hapana!
AhahahahahahaahhaSisi wanaume bana,,,,,!!!! Sasa si ukawaoe wale wale uliowazalisha mkuu?? Ebu fanya kuwahurumia uliowazalisha maana siku hizi hatuoi walio kwisha Zaa.
Akili za kuambiwa changanya na zako!!! Ushauri huwa haulazimishwi!!!Kuwa mstaarabu basi, hiyo lugha uliyotumia hapa haihitajiki!Ukiwa na mkeo tendo lile ni halali.Pia kumbuka kama wewe ni tabia yako kuwachezea wanawake sisi wwengine ni wastaarabu!!!!!
Mhhhh napita tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]Mkuu bado hujapata?
Asante kwa hapo uwezo wako wakufikiri ulipoishia.Huyo mwenye watoto alifariki au yupo
Kama yupo hufai wewe kwenye jamii yetu
Ni kweli maana hujali hisia za wengine watu kama nyinyi lazima tuwaombee mzidi kutendwa tuAsante kwa hapo uwezo wako wakufikiri ulipoishia.
Usipite bila kuachia sala padreMhhhh napita tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]