Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Haha jamaa atawagegeda mpaka mtakoma na alivyoingia na gia nzito tena namba moja ya kupandia mlima kotoka nje kimasomo lazima muisome namba....
 
duh 40 kwa 25 ,maana yake unataka kuoa mwanao
Acha kuupotosha umma.Hakuna mwanamume mwenye miaka 40 na ana mtoto wa miaka 25.Hii maana yake ni kwamba alizaa akiwa na miaka 15,kitu ambacho hakiwezekani kwa mwanamume wa kitanzania.Kama ni kwa upande wa jinsia ya kike labda!
 
Haha jamaa atawagegeda mpaka mtakoma na alivyoingia na gia nzito tena namba moja ya kupandia mlima kotoka nje kimasomo lazima muisome namba....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Haha jamaa atawagegeda mpaka mtakoma na alivyoingia na gia nzito tena namba moja ya kupandia mlima kotoka nje kimasomo lazima muisome namba....
Kuwa mstaarabu basi, hiyo lugha uliyotumia hapa haihitajiki!Ukiwa na mkeo tendo lile ni halali.Pia kumbuka kama wewe ni tabia yako kuwachezea wanawake sisi wwengine ni wastaarabu!!!!!
 
yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.
Ambae ana mtoto hutaki?
 
jana niliota nimeingia jf nikakuta mtu anatafuta mke nikapm tukaoana eti nina umbile na kitu uzima kabisa usijali kilo 98 sio mchezo hebu ni pm mkuu tuoane zetu hata kama umetokea bulgaria
Nasubiri card tu ya mwaliko mie
 
Nenda kanisani kwenye Kwaya wapo wengi tu single Ladies
 
Kuwa mstaarabu basi, hiyo lugha uliyotumia hapa haihitajiki!Ukiwa na mkeo tendo lile ni halali.Pia kumbuka kama wewe ni tabia yako kuwachezea wanawake sisi wwengine ni wastaarabu!!!!!
Akili za kuambiwa changanya na zako!!! Ushauri huwa haulazimishwi!!!
 
Huyo mwenye watoto alifariki au yupo
Kama yupo hufai wewe kwenye jamii yetu
 
Asante kwa hapo uwezo wako wakufikiri ulipoishia.
Ni kweli maana hujali hisia za wengine watu kama nyinyi lazima tuwaombee mzidi kutendwa tu

Haiwezekani umzalishe mtu then utake kuoa mwingine
Umempotezea muda wake kiasi gani

WAHESHIMUNI WANAWAKE WANA MOYO NAO

BORA USINGEWAZALISHA nani amuoe sasa?
real hufai kama yupo hai


Tumekulia na mama wa kambo tunajua ugumu wake
Kuendelea kuona ujinga kama huu
Bora kulala tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…