Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Sawa kwa kuwa wewe uwezo wako WA kufikiria umeishia hapo.Acha wengine waendelee ulipoishia!
 
Hapa hapakufai sista ondoka bila kuangalia nyuma[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Usinambie ntakua jiwe la chumvi padre[emoji27]

Afu acha kumshambulia mleta uzi bana. Mbona amejieleza vizuri tu
 
Sawa kwa kuwa wewe uwezo wako WA kufikiria umeishia hapo.Acha wengine waendelee ulipoishia!
Ushauri kwako warudie uliowazalisha watoto
Utajisumbua bure hao unaowatafuta

Miaka 40 unajitambua vya kutosha si muda wa kuruka ruka
Kubali ulipokosea utengeneze
Kama wapo
Bora hao watalea watoto wako vizuri na kuilinda furaha yako

Miaka 40 taa inawaka hiyo
 
Usinambie ntakua jiwe la chumvi padre[emoji27]

Afu acha kumshambulia mleta uzi bana. Mbona amejieleza vizuri tu
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ngoja tuondoke sista

Shida kadai ana watoto kwanini asiwaoe hao hao
Anawaumiza
Kihisia wanatuona wanaume waongo sana
Hawa ndo wanatuharibia Labda awe na sababu
Za kuwaacha wale

Maana Ulimwengu wa mapenzi bila kuwa makini utajikuta Maumivu kila siku kwako

Hakuna mkamilifu UKIKOSEA TENGENEZA ULIPOKOSEA

Lakini hii kuoa na kuacha sio nzuri
Anawakosesha haki yao watoto
Kuishi na mama na baba pamoja


Wise words!!!!! Take this


 
Watoto wawili? Inaonyesha lengo lako hata huyo utakaekukubalia unaweza kuzalia tu. Onyo kwa wadada ndoa kwanza mimba baadae
 
Elewa mada ndugu.Mwanamke niliyemzalisha watoto hao ni mmoja.Alichoshwa na mimi kutumia muda mwingi masomoni!!!!

yeye penzi kwangu lilishachuja.Ananiona kama ni kama nimezeeka.Kumbuka muda wote huu nilikuwa nawatunza kwa gharama zangu.Kiufupi hata nikioa sihitji watoto wengi.Ninao wawili NITAONGEZA WAWILI kwa mke mpya na basi.
Cc THE RICHARDS
 
Watoto wawili? Inaonyesha lengo lako hata huyo utakaekukubalia unaweza kuzalia tu. Onyo kwa wadada ndoa kwanza mimba baadae
Umechanganya mambo mpaka unashindwa kueleweka!Angalia unapochangia hoja usidhani kwa kuwa wewe tatizo lako ni kuwajaza tu mimba wanawake halafu ukadhani kila mwanamume yuko hivyo!Wengine tumezaliwa na kukulia kwenye ustaarabu!!
 
Chukua mzigo huo nikumbuke kwenye harusi yenu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]


Duuuuh maana hoja anayo KOSA NI MWANAMKE

WANAWAKE MUDA MWINGINE NI WAJINGA

UVUMILIVU HAWANA
Pole mkuu
He hee ndo umegeuza kibao sio
 
Ungechukua uko uko nje kitu white au uliakua Uganda ulishindwa sura zao kiume.
 
Kama yuko above 25 na anamtoto haruhusiwi kufanya application??[emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…