Naitwa Samweli
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasbb mama yake alishafariki kwa ajali.
Nahitaji mwanamke atakaekua mke wangu atakaenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33
Mwenye hofu ya Mungu, na alie serious tujenge mahusiano na familia
KAMA YUPO MWANAMKE ALIE SERIOUS MWENYE UHITAJI ANI DM KARIBU SANA.
ASANTENI[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naishi Moshi
Kabila Mchaga
Umri 35
Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasbb mama yake alishafariki kwa ajali.
Nahitaji mwanamke atakaekua mke wangu atakaenipenda mimi na mwanangu pia.
Awe na umri 22-33
Mwenye hofu ya Mungu, na alie serious tujenge mahusiano na familia
KAMA YUPO MWANAMKE ALIE SERIOUS MWENYE UHITAJI ANI DM KARIBU SANA.
ASANTENI[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app