jamesmalwa
Member
- Aug 30, 2013
- 10
- 2
Nahitaji mke wa kuishi naye, awe ana kazi yake nzuri, awe na cheo kikubwa kazini kwake kuanzia Manager, Director wa kampuni au shirika yaani NGO au Civil Society, umri kuanzia miaka 30-40 na awe anamiliki biashara kubwa, akinizidi umri kama miaka 2 sio mbaya ni kati ya umri taja hapo. Nitashukuru endapo atatokea, elimu yangu ni ya juu zaidi ya post graduate. tuwasiliane kwenye email: jamesmalwa@yahoo.com
Hapana dada bado unaweza kujieleza ulivyo utasikika tu hamna neno.
Hivi kuna watu wanakuwa serious kweli, mke kweli anapatikana hivi jamani du hata girlfriend hapatikani kwa njia hii labda malaya tu wanaojiuza kwenye mitandao.Wewe hutafuti mke unatafuta shida na subiri utaipataNahitaji mke wa kuishi naye, awe ana kazi yake nzuri, awe na cheo kikubwa kazini kwake kuanzia Manager, Director wa kampuni au shirika yaani NGO au Civil Society, umri kuanzia miaka 30-40 na awe anamiliki biashara kubwa, akinizidi umri kama miaka 2 sio mbaya ni kati ya umri taja hapo. Nitashukuru endapo atatokea, elimu yangu ni ya juu zaidi ya post graduate. tuwasiliane kwenye email: jamesmalwa@yahoo.com
Tuache habari ya kuja jwa gia kubwa, hiyo ndo hali halisi sitaki kuwa muongo, wala kusema kile ambacho sitakubaliana nacho. naomba nikufahamu dada yangu usiwe na shaka uwe muwazi tu kwangu niko tayari kukusikiliza, habari ya dnoa njema haijengwi kwa vyeo nimekubaliana na wewe mia kwa mia naomba nikufahamu, samahani kama utanielewa vibaya.
Hivi kuna watu wanakuwa serious kweli, mke kweli anapatikana hivi jamani du hata girlfriend hapatikani kwa njia hii labda malaya tu wanaojiuza kwenye mitandao.Wewe hutafuti mke unatafuta shida na subiri utaipata