jamesmalwa
Member
- Aug 30, 2013
- 10
- 2
Nahitaji mke wa kuishi naye, awe ana kazi yake nzuri, awe na cheo kikubwa kazini kwake kuanzia Manager, Director wa kampuni au shirika yaani NGO au Civil Society, umri kuanzia miaka 30-40 na awe anamiliki biashara kubwa, akinizidi umri kama miaka 2 sio mbaya ni kati ya umri taja hapo. Nitashukuru endapo atatokea, elimu yangu ni ya juu zaidi ya post graduate. tuwasiliane kwenye email: jamesmalwa@yahoo.com