Natafuta mke wa kuoa (Eva ulietoka ubavuni mwangu Bado nakusubiria)

Lover2022

Member
Joined
Jun 10, 2022
Posts
8
Reaction score
13
Habari Wana JF.
Naitwa parson,
Nina umri wa miaka 35,
pombe na sigara situmii,
Kazi mjasiriamali (mdogomdogo) mwenye malengo makubwa.

Sifa ya mke nimtakaye.
Umri kuanzia 30-36
Kabila -lolote
Dini- yeyote
Rangi -Natural (asiwe wadukani)
Elimu- kuanzia kidato Cha nne mpaka chuo kikuu.
N:B Eva popote ulipo adamu nakusubiria Bado fanya haraka tuanze maisha.

Kwa mawasiliano zaidi ni pm
 
Eva popote ulipo unaitwa huku[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Habari wan jf
Jina - Jenstone
Umri- 34
Kazi - mjasiriamali
Elimu- Diploma
Dini- Mkristu
Pombe/Sigara- situmii
Sifa za mke nimtakaye
Umri kuanzia 28+,Kabila lolote,Elimu- yeyote,Awe na hofu ya Mungu,Mwenyekujituma na anayetambua thamani ya mumewe.Nitampenda na kumlinda ,Nitamuheshimu .Karibuni sana pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…