OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
..and that is the main subject matter of my threadNimekuelewa sana hapo uliposema awe na kitu ana-offer tofauti na uchi....unakuta mdada yupo 30's chenye anakupa ni uchi & stress
Tuliza akili mtani piga msako kimya kimya utampata unaeendana nae na mwenye vigezo unataka..and that is the main subject matter of my thread
Kumekuchaa πSifa zangu:
Umri wangu ni kijana
Ni mwajiriwa na mfanyabiashara
Kigezo cha mwanamke
Awe na kitu cha kuofa kwangu mbali na kunivulia nguo ya ndani
Chaee..Sifa zangu:
Umri wangu ni kijana
Ni mwajiriwa na mfanyabiashara
Kigezo cha mwanamke
Awe na kitu cha kuofa kwangu mbali na kunivulia nguo ya ndani
ππππUnaweza jiuliza ,mtoa mada kakoswa Mke ?.
Wakuu ,ukitaka kuoa ndio utagundua Wanawake wa Kuoa, hamna.