kila la kheri....
Shosti changamkia goma hilo,hutaki harusi?kwi kwi kwi
nataka harusi ya kuwaringishia mashosti lol sijui nimuibukie?lol
nataka harusi ya kuwaringishia mashosti lol sijui nimuibukie?lol
nataka harusi ya kuwaringishia mashosti lol sijui nimuibukie?lol
hata mwanachuo hutaki?
tatizo wanachuo waongo na mm sitaki pasua kichwa nataka kuoa
Shida kubwa ya wanachuo ni hii hapa..hata mwanachuo hutaki?
Kheee, kumbe kuwa singo mwenye tajiriba kwa wadada ni nuksi..Haha mwibukie tulicheze segere,toa nukx shosti
Shida kubwa ya wanachuo ni hii hapa..
1. Mizinga
2. Mchana lecture usiku Corner Bar
3. Maisha ya juu kuliko uhalisia
4. Kitendo cha kutaka kuwaonyesha wenzio kwamba kapata, inamfanya muoawaji akostike kuliko kawaida..
Unaweza ukakwepa yoooteeee lakini hilo la nne hakuna mwanachuo anayechomoka hapo (4. Kitendo cha kutaka kuwaonyesha wenzio kwamba kapata, inamfanya muoawaji akostike kuliko kawaida)mbona mi mwanachuo ila hayo yote sina?
Unaweza ukakwepa yoooteeee lakini hilo la nne hakuna mwanachuo anayechomoka hapo (4. Kitendo cha kutaka kuwaonyesha wenzio kwamba kapata, inamfanya muoawaji akostike kuliko kawaida)
mi sina ila namba moja sawa.....
Yaani Evelyn Salt umenifurahisha sana... Yaani umenionyesha kabisaaaaaa haiba ya kike ... Umekataaaaaaaaaa lakini mwisho umeanza kukubali moja moja... Nina uhakika tukiendelea hadi jioni, utayakubali yootee hapo kuwa unayo..
Shida kubwa ya wanachuo ni hii hapa..
1. Mizinga
mbona mi mwanachuo ila hayo yote sina?
mi sina ila namba moja sawa.....
2,3 na 4 sina ila namba moja ni kweli......ni hayo tu.
Yaani nimejikuta nacheka peke yangu!
Yaani unavyokubali namba 1 ina maana umeshajifanyia analysis mpaka ukajijua kabisa weakness yako ni no 1! - teh! teh! teh! - maana hata hubishi!