Natafuta mke wa kuoa mwakani mwezi wa 4 mwenye umri miaka 26-35

Natafuta mke wa kuoa mwakani mwezi wa 4 mwenye umri miaka 26-35

Babatobe2019

New Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
0
Reaction score
1
Jina: Patric
Umri: 30
Kazi: Mwajiriwa
Dini: Mkristo
Elimu: Degree
Simu: Baadaye
Lengo: Natafuta mke wa kuoa

Sifa za mke ni mtakaye.
Umri: 26-35
Dini: Yeyote
Kabila: Lolote

Kwa mawasiliano zaidi ni pm nipo serious.

Kama upo serious na unamaanisha karibu.
 
Mke!? Humu!? Labda kahaba lakini mke huwezi mpata mazingira haya.
 
Back
Top Bottom