emanuel prim
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 508
- 475
Mbona si wengine tumepata Mke humu.. Na maisha yanasonga freshi tu.Mke!? Humu!? Labda kahaba lakini mke huwezi mpata mazingira haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona si wengine tumepata Mke humu.. Na maisha yanasonga freshi tu.Mke!? Humu!? Labda kahaba lakini mke huwezi mpata mazingira haya.
ana dharau sana huyoMbona si wengine tumepata Mke humu.. Na maisha yanasonga freshi tu.
Kwan unataka uende piemu mkuu ?Babatobe2019,
Cv yako pls? Afya yako ikoje? Kazi gani unafanya? Kabila siyo ishu but Msimamo wako wa dini ni upi? Rona,Lutheran,Mashahid wa yehova, Msabato n.k
embu jaribu kumchek kwenye hiyo namba yake ya simuWe click picha yangu utaona kitufe cha blue kimeandikwa message...au ingia inbox