Babatobe2019
New Member
- Oct 29, 2019
- 0
- 1
Click picha yangu hapo juu..Nikitaka kuja pm nafanyaje
Nimeiona lkn sioni sehemu ya kukutumia messageClick picha yangu hapo juu..
Halafu nenda sehem imeandikwa message
We click picha yangu utaona kitufe cha blue kimeandikwa message...au ingia inboxNimeiona lkn sioni sehemu ya kukutumia message
We click picha yangu utaona kitufe cha blue kimeandikwa message...au ingia inbox
Duuh.. nlikua sijui hii kitu.sababu ni mgeni,kuna number ya post lazima ufikishe kabla ya kumtumia mtu ujumbe
Duuh.. nlikua sijui hii kitu.
Duuh.. nlikua sijui hii kitu.
Oooh.. okay.Sante kwa taarifa.sio posts nyingi mkuu nadhani ni 20,lol
Kwani ulitaka kutuma ujumbe?
[emoji28][emoji28][emoji28] wewe i sayyy. Hahha.
Jibu ni Hapana
Sawa[emoji28][emoji28][emoji28] wewe i sayyy. Hahha.
Jibu ni Hapana
UmetishaNimeiona lkn sioni sehemu ya kukutumia message