Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe anajichubua/amejichubua mwili wake na awe mwimbaji
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 180cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 180cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...