Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe anajichubua/amejichubua mwili wake na awe mimbaji
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 18cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe anajichubua/amejichubua mwili wake na awe mwimbaji
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 18cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe anajichubua/amejichubua mwili wake na awe mwimbaji
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 18cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...
Hapo kwenye urefu mkuu mbona inaisha? 18 cm? Ila nikuambie kitu!!! Mke mwema hutoka kwa Mungu ila mali na utajiri mtu hupewa na babaye!!!! Nenda mbele za Mungu piga magoti utampata mke wa uabavu wako. Hawa wa mtandaoni ni majaribu au majanga unatafuta!!!! Ninaamini siku ikifika Mungu atakukutanisha na mke wako ila pia ni lazima uwe safi usikute at 38 wewe ulishachezea maisha sasa ndo umekumbuka blanketi wakati kunakucha!!! At 38 hujawahi kuoa? Ulikuwa wapi? Average age ya normal Tz man kuona ni 30 years!!!! You are skewed to the right!!!!!
duuh mkuu ulimaanisha hiyo kwenye nyekundu? maana hata rula inakuzidi urefu!
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe anajichubua/amejichubua mwili wake na awe mwimbaji
Mimi nina miaka 38, elim yangu shahada ya udhamili, ni mfanyakazi, uzito kilo 72, urefu 180cm
Nb, kma ni dini tofauti na ukristo uwe tayari kubadilika.
Be serious, because am serious too...