Natafuta mke wa kuoa

Unatafuta MKE? wa kuoa?!!! Hivi Mke anaolewa tena Mara ya Pili? Napata ukakasi na hicho chuo kikuu!

Sema unatafuta Mwana-mke.
 
mh
 
Hua nna wasiwasi sana na mwana wa kiume ambae hajawai na hatumii kilevi......maana hua nahisi starehe yake ni weka mbali na watoto.
 
Nimelipenda sana tangazo lako!!! Nakuombea ufanikiwe katika hili!
 
Ww na usomi wako wote umeona wapi au kusikia mke ambaye hajaolewa au unatafuta mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…