mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 723
- 394
haya sasa mm napita tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie simu namba amekuandikia hapo au hujaionando nataka niandae nauli
Mzambiamkonongo ni wa tanzania?
mhHABARI WANA JF NAJITOKEZA KWA MARA YA KWANZA KUTAFUTA MKE WA KUO.
JINA:Erickson
UMRI: Miaka 31,
KABILA: mkonongo,
DINI: Mkristu,
NCHI NAYOISHI:Tanzania,
UREFU : FT5.6,
RANGI : Mweusi,
ELIMU: Chuo kikuu,
KAZI :Mwajiriwa,
SIGARA: Situmii,
POMBE : Situmii,
JINSIA: MWANAUME,
Mwanamke ni mtakae awe na mapenzi ya dhati na anaye jua nini maana ya ndoa, Sina ubaguzi wa aina yeyote ile juu ya Elimu, kabila, Dini,kama anamtoto haina shida nacho jali ni upendo.Alie tayari ani PM au tuwasiliane kwanamba ifuatayo 0623058413 karibu Sana, Nacho jua mke anapatikana popote kwenye daladala, mskitini, kanisani, kazini n.k,Kwahiyo hata hapa Jf nipo sahihi kuandika hitaji langu,
Asante Nahitimisha.
Hua nna wasiwasi sana na mwana wa kiume ambae hajawai na hatumii kilevi......maana hua nahisi starehe yake ni weka mbali na watoto.HABARI WANA JF NAJITOKEZA KWA MARA YA KWANZA KUTAFUTA MKE WA KUO.
JINA:Erickson
UMRI: Miaka 31,
KABILA: mkonongo,
DINI: Mkristu,
NCHI NAYOISHI:Tanzania,
UREFU : FT5.6,
RANGI : Mweusi,
ELIMU: Chuo kikuu,
KAZI :Mwajiriwa,
SIGARA: Situmii,
POMBE : Situmii,
JINSIA: MWANAUME,
Mwanamke ni mtakae awe na mapenzi ya dhati na anaye jua nini maana ya ndoa, Sina ubaguzi wa aina yeyote ile juu ya Elimu, kabila, Dini,kama anamtoto haina shida nacho jali ni upendo.Alie tayari ani PM au tuwasiliane kwanamba ifuatayo 0623058413 karibu Sana, Nacho jua mke anapatikana popote kwenye daladala, mskitini, kanisani, kazini n.k,Kwahiyo hata hapa Jf nipo sahihi kuandika hitaji langu,
Asante Nahitimisha.