Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Tour1234

Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
5
Reaction score
1
Natafuta mwanamke wa kuoa.
Kwanza awe na vigezo vifuatavyo.
1. AWE MNENE, mwanamke mwembamba moyo wangu haumhitaji kabisa.
2. Awe mkweli
3. Muwazi
4. Anajali
5. Umri 20 hadi 24

Umri wangu ni miaka 25.
Pia sifa nilizozianisha hapo juu ninazo mimi pia.
Nipo Morogoro kwa sasa.

Kama yupo aliye tayari ani PM.
 
Back
Top Bottom