MasharubuMYJ
Member
- Sep 26, 2018
- 15
- 44
Niliachana na mke miezi sita iliyopita kutokana na mke kutokuwa mwaminifu na kuchepuka mara kadhaa. Nina watoto Wawili wa kiume mmoja na wa kike mmoja. Wote wanasoma shule ya Msingi. Mimi ni mwalimu.
Natafuta mke wa kuoa. Mke awe mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu, awe na miaka kati ya 22 hadi 26 maji ya kunde na mwenye mwonekano mzuri kiumbo. Kama yupo na yupo serious na jambo hili anitafute tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta mke wa kuoa. Mke awe mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu, awe na miaka kati ya 22 hadi 26 maji ya kunde na mwenye mwonekano mzuri kiumbo. Kama yupo na yupo serious na jambo hili anitafute tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app