Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Mimi ni mume mtrajiwa
Umri 42
Urefu futi 6.2
65kg
Maji ya kunde
Naishi na kufanyakazi temeke/dar
Elimu-degree
-Nina hasira japo fupi
-Nina katabia ka kug'ang'ania
-wakati mwingine ni mchokoz kidogo
VINGINEVYO Mimi ni mpole na mkarimu

Natafuta aliyejiandaa kuolewa(MKE)
Aliyeelimika(hekima)
Mrefu,Umri 20 hadi 38
Asiwe au awe na mtoto
Asiwe au awe na kazi/biashara-ok.
Awe na kazi au kitu anachofanya kanisani
Asinifiche udhaifu wake
Awe Christian ,awe au asiwe na kabila
Tuwe serious tafadhali na sihitaji wa kuonja
Nathamini kila mdonyoo wa kidole chako
Asanteni,karibu ,tukutane pm .

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wafupi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usihofu,ukitaka kujenga mnara lazima uhesabu gharama lakini pamoja na vyote vinavyopewa kipaumbele na wengi kuwa navyo haiondoi maana wala kukidhi haja ya kuwa na "soulmate" hasi na chanya ndio hutengeneza sumaku na dunia ni jumuia ya kukamilishana, usichokuwa nacho wewe Mimi nimejaza au vinginevyo,kikubwa kuliko vyote ni ufahamu tu (understanding).
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
1:42 yrs sio mbaya ila usiwe 42 hata nyumba hujajenga bado unapanga iyo taabu nyingine

42 yrs, usiwe bado una panda daladala, temeke , mawasiliano

3: 42 yrs use hata na uwezo wa kumtolea mahali Dada wa watu.

4: 42 yrs usiwe ni wale wanaume wavulana wanalia ovyo mitandaon, akitoa 10000 tu anaanzisha Uzi.

5: 42 yrs usiwe wale wanaume wa Jf watakao on a hii comment comment yangu wakaanza kuninanga kwa style hii sitaolewa.

6: 42 yrs at least unakuwa na vitu vyote vya msingi, sio Julia njaa ovyo.

7: 42 yrs hakuna cha kusema mnaenda kuanzia maisha, upya so mtafute from 0, kama nitafuta from 0 ungeoa ukiwa na 25.

8: huu ndio ukweli ingawa mnaukataa na matusi juu.

9: mm nikiolewa na 42 bas naenda kumwongezea miaka ya kuishi, kuhakikisha anakuwa kijana upya, sio kwenda kunilimisha Lisa ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza tu kuwa something might bê wrong!! Kanisani kwako, mtaani kwako, kazini kwako, kijijini kwenu, kote huko umekosa? Sembuse hawa wa Jf ambao huwafahamu kwa sura, muonekano wala tabia?
Lkn nisikukatishe tamaa, huu ni mtizamo wangu. Kila la heri.
 
😁😁😁😁😁😁
1:42 yrs sio mbaya ila usiwe 42 hata nyumba hujajenga bado unapanga iyo taabu nyingine

42 yrs, usiwe bado una panda daladala, temeke , mawasiliano

3: 42 yrs use hata na uwezo wa kumtolea mahali Dada wa watu.

4: 42 yrs usiwe ni wale wanaume wavulana wanalia ovyo mitandaon, akitoa 10000 tu anaanzisha Uzi.

5: 42 yrs usiwe wale wanaume wa Jf watakao on a hii comment comment yangu wakaanza kuninanga kwa style hii sitaolewa.

6: 42 yrs at least unakuwa na vitu vyote vya msingi, sio Julia njaa ovyo.

7: 42 yrs hakuna cha kusema mnaenda kuanzia maisha, upya so mtafute from 0, kama nitafuta from 0 ungeoa ukiwa na 25.

8: huu ndio ukweli ingawa mnaukataa na matusi juu.

9: mm nikiolewa na 42 bas naenda kumwongezea miaka ya kuishi, kuhakikisha anakuwa kijana upya, sio kwenda kunilimisha Lisa ndoa.
👏👏👏 ukweli mtupu
 
Hivi mtu una degree, toka form four, form six, university, mtaan, safarin wakat wa kusima + maeneo mengine unashindwaje kumpata umpendae had utafute jf???
USHAURI
Usiwe mvivu wa kuapproach, mwaga sera na voko mpaka kieleweke
Mimi ni mume mtrajiwa
Umri 42
Urefu futi 6.2
65kg
Maji ya kunde
Naishi na kufanyakazi temeke/dar
Elimu-degree
-Nina hasira japo fupi
-Nina katabia ka kug'ang'ania
-wakati mwingine ni mchokoz kidogo
VINGINEVYO Mimi ni mpole na mkarimu

Natafuta aliyejiandaa kuolewa(MKE)
Aliyeelimika(hekima)
Mrefu,Umri 20 hadi 38
Asiwe au awe na mtoto
Asiwe au awe na kazi/biashara-ok.
Awe na kazi au kitu anachofanya kanisani
Asinifiche udhaifu wake
Awe Christian ,awe au asiwe na kabila
Tuwe serious tafadhali na sihitaji wa kuonja
Nathamini kila mdonyoo wa kidole chako
Asanteni,karibu ,tukutane pm .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom