Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na tamaa, rangi yoyote, kabila lolote, aliye tayari kufunga ndoa kanisa letu-RC, asiye mdanganyifu.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.