Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Halafu huo mvuto unaozungumzia unao ni upi,wa kiume?wa kishoga au wa kike?manake nimezoe kauli zile za kina maa mtaan kam hii MWANAMKE MVUTO BABU HEHEEE SHUTUUU!UNALO HILO. TUJUZE WE UNAYEJISIFIA KA SHAROBARO.
 
hapo ndio sijakuelewa unamaanisha nini?...una mvuto wa kumvutia nani,.....watu wengine bana kucha kujisifia,...au ndio jf imevamiwa na masharobaro

Igweeeeeee....unakumbuka yule dogo wa UDOM alijinasibu hapa?
 
Una mvuto?! Mvuto wa kichawi au? Kaaz kweli kweli
 
naendelea kusubilia wenye shida kama mimi, email yangu ni <a href="mailto:mtumwamtumwa@yahoo.com">mtumwamtumwa@yahoo.com</a>.
<br />
<br />
shida shida! Hv kweli hv sas mchumba ni shida?mademu wote bongo hii,itakuwa una matatizo binafsi wewe
 
mimi nitakuwa tayari kama utanipa sababu za kutaka kunioa
sababu sita tu tafadhali
 
An.na ma.ki.nd.e naye anatafuta mume yupo tayari kuolewa muda wwt sifa anazo, elimu anayo na mwanya anao
 
Una mvuto?! Mvuto wa kichawi au? Kaaz kweli kweli

hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa!...nimecheka kweli*2,....eti ana mvuto_ni nadra sana kwa mwanaume kujinasibu eti ana mvuto sana,labda kama ni wa kiume,..ila mvuto wa kichawi ndio ukoje mkuu
 
Back
Top Bottom