Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na tamaa, rangi yoyote, kabila lolote, aliye tayari kufunga ndoa kanisa letu-RC, asiye mdanganyifu.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.
sorry nakukumbusha tu,we ni mtu mzima na tunakuheshimu,nenda jori, kona bar , uwanja wa fisi wapo wengi
sorry nakukumbusha tu,we ni mtu mzima na tunakuheshimu,
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na tamaa, rangi yoyote, kabila lolote, aliye tayari kufunga ndoa kanisa letu-RC, asiye mdanganyifu.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na tamaa, rangi yoyote, kabila lolote, aliye tayari kufunga ndoa kanisa letu-RC, asiye mdanganyifu.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na tamaa, rangi yoyote, kabila lolote, aliye tayari kufunga ndoa kanisa letu-RC, asiye mdanganyifu.
sifa zangu ni, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, nina mvuto mkubwa sana, naamini atakayekuwa tayari atanipenda, elimu ipo juu, nina kazi inayotosha kutunza familia.
aliye tayari tuwasiliane hapa mtumwamtumwa@yahoo.com.
umejitahidi kuelezea vizuri kabisa.......haswa hapo nilipohighlite.....lakini......hujagundua kuwa CV yako bado ina mapungufu.....? hebu iangalie vizuri
<br />hapo ndio sijakuelewa unamaanisha nini?...una mvuto wa kumvutia nani,.....watu wengine bana kucha kujisifia,...au ndio jf imevamiwa na masharobaro
<br />
<br />
hahaha! Hapo kny mvuto ndo paliponiacha hoi!!heri yake ana mvuto mkubwa sana..lol