Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Naamini wapo nitampata mkuu maana ndio hitaji la moyo wangu

Sawa Mkuu utampata tu ila asiwe kama huyu.

Bonge.jpg
 
Hamna shida, sihitaji tuu awe mwembamba basi
Ungekuwa India ningekushauri ufike office ya jamaa yangu,ungekuta album kabisa ungechagua unachotaka kwa posho ndogo tu.Lakini nakushauri achana na hawa maninja wa mjini ni time boom wanalipuka mda wowote.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Joined 47 minutes Ago,halafu unatafuta mke.
 
Back
Top Bottom