Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 571
- 1,394
Duuh.hatari sanaHumu hakuna wachumba. Tumo magumegume tupu.
Tupo wasichana wadogo lkn tumepiga ngono mara tatu au zaidi ya mama zetu mpk vizazi vimeoza.
Wengine ni vikongwe lkn tunapaka make up na piko kuficha uzee wetu. Na kama huna jicho zuri unaweza kudhani ni wasichana. Lkn kimsingi tushafika menopause.
Wengine tuna miaka 20 - 25 lkn tumetoa mimba zaidi ya 20. Hatuzai tena.
KumekuchaaaHumu hakuna wachumba. Tumo magumegume tupu.
Tupo wasichana wadogo lkn tumepiga ngono mara tatu au zaidi ya mama zetu mpk vizazi vimeoza.
Wengine ni vikongwe lkn tunapaka make up na piko kuficha uzee wetu. Na kama huna jicho zuri unaweza kudhani ni wasichana. Lkn kimsingi tushafika menopause.
Wengine tuna miaka 20 - 25 lkn tumetoa mimba zaidi ya 20. Hatuzai tena.
Website ipi hiyo kaka twendeMkuu nenda kwenye website za kutafuta wanawake wanaotaka ndoa..., wapo wa rangi tofauti na kutoka nchi tofautitofauti. Humu unatafuta majungu tu, otherwise utaonekana hauko serious
Unataka wanwake wa design gani?! Wazungu, wa-Asia, waafrika, wamanga wa Amerika kusini au waarabu kutoka middle east?! We sema nikupe link ya website uhangaike nayo. It works! Sio utaniWebsite ipi hiyo kaka twende
Mungu akujaalie katika jambo hili jemaHabari zenu wakuu?
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza natafuta mke wa kuoa awe serious na maisha umri miaka 24_30 kabila lolote ili mradi awe mtanzania dini sichagui wala rangi sijui sura mimi sichagui.
Najua kuna wanawake wangependa kujua kipato changu mimi kwa sasa nabangaiza baada ya kumaliza chuo nipo mashambani nalima nikipata chochote naunga bando kuja kuniliwaza JF.
WabongoUnataka wanwake wa design gani?! Wazungu, wa-Asia, waafrika, wamanga wa Amerika kusini au waarabu kutoka middle east?! We sema nikupe link ya website uhangaike nayo. It works! Sio utani
We jamaa uko serious kweli?! πππ sasa kama mademu wa kibongo huwa hukutani na wanawake mbalimbali mizungukoni mwako?! Au mdomo hujachangamka comrade?! πππWabongo