Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nimejiondoa mapema na huu udebora wanguVigezo umeviona lakini
Hee hako ka picha nimekaona asubuhi Tweeter,,Usijari bwana ataleta View attachment 2424886
Nitakushtua kibungoAkitokea Maiko msisite kuniita 😂
Kwani we hutaki kwenda kuishi nje ya Tz kibungoHee hako ka picha nimekaona asubuhi Tweeter,,
InshaAllah najiombea kheri pia, nitampa asotaka wasomi wa kopyuta 🤣
Kaka kule home ulimuacha mrembo ameolewa sh.....ra....Nenda Kuna wadogo zake wamebaki kachague mmojaAhahah bado kaka hawaji wanagoma
Nje ya Tz sitaki 🤣 naweza kuanguka bureKwani we hutaki kwenda kuishi nje ya Tz kibungo
Bahati hazijagi mara mbili, shauri yako esp hizo za kuishi nje ya nchi🤣🤣Nje ya Tz sitaki 🤣 naweza kuanguka bure
Bahati nyingine za shetani 😂Bahati hazijagi mara mbili, shauri yako esp hizo za kuishi nje ya nchi🤣🤣
Daaah!! Mbona mmetukatia tamaa hivi🤣🤣🤣Mbona mabint kibao huku mtaani mkuu fungua kibunda saiv upendo wa kweli hamna