Ndio maana nimejiondoa mapema na huu udebora wanguVigezo umeviona lakini
Hee hako ka picha nimekaona asubuhi Tweeter,,Usijari bwana ataleta View attachment 2424886
Nitakushtua kibungoAkitokea Maiko msisite kuniita 😂
Kwani we hutaki kwenda kuishi nje ya Tz kibungoHee hako ka picha nimekaona asubuhi Tweeter,,
InshaAllah najiombea kheri pia, nitampa asotaka wasomi wa kopyuta 🤣
Kaka kule home ulimuacha mrembo ameolewa sh.....ra....Nenda Kuna wadogo zake wamebaki kachague mmojaAhahah bado kaka hawaji wanagoma
Nje ya Tz sitaki 🤣 naweza kuanguka bureKwani we hutaki kwenda kuishi nje ya Tz kibungo
Bahati hazijagi mara mbili, shauri yako esp hizo za kuishi nje ya nchi🤣🤣Nje ya Tz sitaki 🤣 naweza kuanguka bure
Bahati nyingine za shetani 😂Bahati hazijagi mara mbili, shauri yako esp hizo za kuishi nje ya nchi🤣🤣
Daaah!! Mbona mmetukatia tamaa hivi🤣🤣🤣Mbona mabint kibao huku mtaani mkuu fungua kibunda saiv upendo wa kweli hamna