fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
Bado sijapata wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sana Bhana umenichoka mapema hii ukanidalaliaMkuu mimi sina mengi zaidi ya kukuconnect na huyu dada Unique Flower bure kabisa umfanye awe busy na mapenzi.
Wana JF tutashukuru kwa ushirikiano wako mpendwa.
Mzee baba Kuna yule manzi wa Jana imekuwaje naye anauhitaji mwenza au yeye anawinda discover??Mimi ni mwanaume wa miaka 34, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi
Rangi- Maji ya kunde
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- Degree
Kazi- Mtumishi (Taasis Binafsi)
Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 22 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.
* Single parent ( single mother) namkubali pia
-Awe na Elimu yoyote.
-Awe anapenda marafiki na ndugu zangu
Karibu sana.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
mimi nakupambania tu rafiki yangu usituite tena vichaa 😂😂Sawa sana Bhana umenichoka mapema hii ukanidalalia
Kaandika fatherhood kweli hutaki hii engine au unayo chibaba tayari mie anarudi next weekKila lenye kheri
Mi Nina mpenz cute,sema napenda taniana na kila man humu jf😘Kaandika fatherhood kweli hutaki hii engine au unayo chibaba tayari mie anarudi next week
Umeshaolewa au ndio tutakula ubwabwa soonMi Nina mpenz cute,sema napenda taniana na kila man humu jf😘
❤Mungu akijaalia mtakula ubwabwa,so unajua mambo haya shost...ukiwa na mpenz usijiwekee 100% kuwa atakuwa mume.Time will tellUmeshaolewa au ndio tutakula ubwabwa soon
Acha umbeya mwanaume mzima unaumbeya hivyoo halafu watu wapuuzi wapuuzi ndio wamejiunga jf mwaka Jana shida tupu hamjielewi mmelaaniwa hiki kizazi Cha huyu bibi mnashida sanaKuna mambo yanafurahisha ina maana uko unakoishi hakuna mabinti? Huku uwezi pata mke
Niko pale ukipata nagharamia harusi
Sure ni kweli kabisa mwaya❤Mungu akijaalia mtakula ubwabwa,so unajua mambo haya shost...ukiwa na mpenz usijiwekee 100% kuwa atakuwa mume.Time will tell
Mwanamke wa miaka 22 ukimkuta ametulia ni 1 katika 100,Single Parent pia uwe makini napo hapo.Mimi ni mwanaume wa miaka 34, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi
Rangi- Maji ya kunde
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu- Degree
Kazi- Mtumishi (Taasis Binafsi)
Sifa za ninae Mtafuta.
Rangi- Yoyote.
Miaka - Kuanzia 22 na kuendelea.
-Awe amejiajiri au muajiriwa.
* Single parent ( single mother) namkubali pia
-Awe na Elimu yoyote.
-Awe anapenda marafiki na ndugu zangu
Karibu sana.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mbona unanitisha kakaKuna mambo yanafurahisha ina maana uko unakoishi hakuna mabinti? Huku uwezi pata mke
Niko pale ukipata nagharamia harusi
Acha umbeya mwanaume mzima unaumbeya hivyoo halafu watu wapuuzi wapuuzi ndio wamejiunga jf mwaka Jana shida tupu hamjielewi mmelaaniwa hiki kizazi Cha huyu bibi mnashida sana
Naamin mke popote anapatikanaAcha umbeya mwanaume mzima unaumbeya hivyoo halafu watu wapuuzi wapuuzi ndio wamejiunga jf mwaka Jana shida tupu hamjielewi mmelaaniwa hiki kizazi Cha huyu bibi mnashida sana