Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Mkwezi1987

Member
Joined
Nov 12, 2017
Posts
5
Reaction score
12
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
 
Natafuta mke wakuoa,mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba 0624942380, mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Wewe wataka mke mwenye kazi ili upate unafu wa maisha, unataka kulelewa tu.
 
hadi kanisani kwako napo umewakosa
 
Natafuta mke wakuoa,mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba 0624942380, mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
kuhusu sura nayo ni yoyote ?
 
Kataa ndoa ni utapeli dunia imeharibika utapotea...alisikika mpiga pull Fulani
 
Natafuta mke wakuoa,mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba 0624942380, mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Nampambania Miss Natafuta
  1. Muungwana
  2. Respectful
  3. Hakurupuki
  4. Ana juhudi ya kutafuta
  5. Reply zake kwenye kuchangia humu hazina hasira
  6. Anatafuta kwa muda mrefu jaribu tupa ndoana utanishukuru
Mungu akupe nini kama huniamini fuatilia michango yake humu ukiona amemkashifu mtu njoo nisute
 
[mention]Nakadori [/mention] akija huko usijibu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kutafuta mke mtandaoni hii imekaaje??au kila mtu na maisha yake tusipangiane?
 
Umetoka sayari ya mass nini ,mtaani kwenu hakuna wadada mkuu?
 
Back
Top Bottom