Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vigezo upo serious, au ndio unataka kupima humu JF wapo wangapi?Umri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozid 2.
We mwache mkuuu tusije tukamzika mapema hii yote eti singo maza daaaaah noma kweliWalahi akiwa na miaka 18-25 afu single maza atakutoa roho.....
Nenda taratibu mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waje ila wachache wakiwa wengi itakuwa mtihan kuchambua
NakuombeaUmri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozid 2.
NakuombeaUmri wangu ni miaka 30, kwa sasa natafuta mke wa kuoa awe na Umri 18 - 35 awe mkristo
Awe amezaa watoto wasiozid 2.
Iko mambo wala sikupingiJf ni ulaghai bro....humu tuwe tunacheka tu
Unamuombea sala ya mwisho auNakuombea