Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Wahuni sio watu wazuri
Tatizo la wahuni mpaka watie mimba ndio wamuache Dem.
Kumuacha akiwa Hana doa sijui wanaonaje?
Eti mpwayungu village hii tabia mbona hamuiachi?
Unajua mwanamke akishazalishwa chances za kuolewa na gentleman Ni ndogo Sana. Sana Sana ataambulia vibabu vilivyo staafu au bodaboda.
 
Kwa hiyo wa jamaa forum ndo wana utayari? Ndo maana hizi ndoa zinawashinda
Ndo maana nikatangaza mkuu kama hapa nilipo wapo hawazuiliwi kunichek inbox, ama hao unaosemea walizuiliwa kuingia JF
 
Tatizo la wahuni mpaka watie mimba ndio wamuache Dem.
Kumuacha akiwa Hana doa sijui wanaonaje?
Eti mpwayungu village hii tabia mbona hamuiachi?
Unajua mwanamke akishazalishwa chances za kuolewa na gentleman Ni ndogo Sana. Sana Sana ataambulia vibabu vilivyo staafu au bodaboda.
Eti Ehee
 
Back
Top Bottom