uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kujaa na utayar ni vitu viwil tofaut
Kwa hiyo wa jamaa forum ndo wana utayari? Ndo maana hizi ndoa zinawashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujaa na utayar ni vitu viwil tofaut
Tatizo la wahuni mpaka watie mimba ndio wamuache Dem.Wahuni sio watu wazuri
Apate hitaji la moyo wake.. Siku hizi mtu akitafuta ndoa mheshimu sana.. Muombee sana...mpongeze sanaUnamuombea sala ya mwisho au
Eti EheeTatizo la wahuni mpaka watie mimba ndio wamuache Dem.
Kumuacha akiwa Hana doa sijui wanaonaje?
Eti mpwayungu village hii tabia mbona hamuiachi?
Unajua mwanamke akishazalishwa chances za kuolewa na gentleman Ni ndogo Sana. Sana Sana ataambulia vibabu vilivyo staafu au bodaboda.
To yeye usijesema huna bahati. mwamba huyo yupo ready kujitosa kwa single motherNipo serious mkuu, mi nilikuzwa na baba wa kambo so ni zamu yngu kulipa fadhira kwa kumtendea mwingine yale mazur nilotendewa.
AminaaOoh pole, Mungu atakujaalia mwingine
Mtoto kwenye mapenzi hahusiki....mliopendana ni wawiliSio utani. Kuna jamaa alioopoa bonge la jiko humu humu. Mtoto amejaaliwa chura, nidhamu na elimu sema tu alishazalishwa na wahuni.
Zaidi ya hayo siku hizi wanaume wa kike ni wengi na wanawake wa kiume si habaKweli maana anaingia kwenye majukum rasmi kama mwanaume ama mwanamke
All the time mkuuMungu ni mwema.
Hahahahahahahaha uwiiiiiWalahi akiwa na miaka 18-25 afu single maza atakutoa roho.....
Nenda taratibu mkuu
Hahahah wewe jamaaa dah umenitoa machozWalahi akiwa na miaka 18-25 afu single maza atakutoa roho.....
Nenda taratibu mkuu